sw_tn/jdg/08/15.md

430 B

Zeba na Salmuna

Haya ni majina ya wanaume.

Je! mmemshinda Zeba na Salmuna?

Gideoni anarejea swali kwa watu wa Sukothi ili kuwakejeli. "Bado hamjamshinda Zeba na Salmuna."

Gideoni akawachukua ... naye akawaadhibu ... akaangusha

Hapa "Gideoni" anawakilisha askari wake.

Miiba na michongoma.

Vipande vyenye ncha kali vinavyokuwepo kwenye miti ambavyo vinaweza kuchoma watu au wanyama.

Penueli

Hili ni jina la mji.