forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
430 B
Markdown
20 lines
430 B
Markdown
|
# Zeba na Salmuna
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Je! mmemshinda Zeba na Salmuna?
|
||
|
|
||
|
Gideoni anarejea swali kwa watu wa Sukothi ili kuwakejeli. "Bado hamjamshinda Zeba na Salmuna."
|
||
|
|
||
|
# Gideoni akawachukua ... naye akawaadhibu ... akaangusha
|
||
|
|
||
|
Hapa "Gideoni" anawakilisha askari wake.
|
||
|
|
||
|
# Miiba na michongoma.
|
||
|
|
||
|
Vipande vyenye ncha kali vinavyokuwepo kwenye miti ambavyo vinaweza kuchoma watu au wanyama.
|
||
|
|
||
|
# Penueli
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|