forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
500 B
Markdown
20 lines
500 B
Markdown
# Akatoka huko
|
|
|
|
Hapa anazungumziwa Gideoni pamoja na askari waliomfuata. "Gideoni na watu 300 wakatoka huko"
|
|
|
|
# Penieli
|
|
|
|
Hili ni jina la mahali.
|
|
|
|
# akawaambia watu maneno hayo hayo
|
|
|
|
"akaomba chakula hapo kwa namna ile ile" au " pia akawaomba chakula"
|
|
|
|
# Nitakapokuja kwa amani
|
|
|
|
Hii ni namna ya heshima ya kuzungumza juu ya kumshinda adui. "Baada ya kumaliza kulishinda jeshi la Midiani"
|
|
|
|
# nitauangusha mnara huu
|
|
|
|
"Mimi" inawakilisha Gideoni na watu wake. "Watu wangu na mimi tutauangusha mnara huu"
|