sw_tn/jdg/08/08.md

500 B

Akatoka huko

Hapa anazungumziwa Gideoni pamoja na askari waliomfuata. "Gideoni na watu 300 wakatoka huko"

Penieli

Hili ni jina la mahali.

akawaambia watu maneno hayo hayo

"akaomba chakula hapo kwa namna ile ile" au " pia akawaomba chakula"

Nitakapokuja kwa amani

Hii ni namna ya heshima ya kuzungumza juu ya kumshinda adui. "Baada ya kumaliza kulishinda jeshi la Midiani"

nitauangusha mnara huu

"Mimi" inawakilisha Gideoni na watu wake. "Watu wangu na mimi tutauangusha mnara huu"