sw_tn/jdg/08/01.md

270 B

Ni nini hiki umetutenda?

Watu wa kabila la Efraimu wanamkemea Gideoni kwa kutumia swali kwa kuwa hakuwaweka katika jeshi lake.

Dhidi ya Midiani.

"Midiani" inawakilisha jeshi la Midiani.

Wakamwambia kwa nguvu

"wakamwambia kwa hasira" au "wakamkemea kwa nguvu"