forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
270 B
Markdown
12 lines
270 B
Markdown
|
# Ni nini hiki umetutenda?
|
||
|
|
||
|
Watu wa kabila la Efraimu wanamkemea Gideoni kwa kutumia swali kwa kuwa hakuwaweka katika jeshi lake.
|
||
|
|
||
|
# Dhidi ya Midiani.
|
||
|
|
||
|
"Midiani" inawakilisha jeshi la Midiani.
|
||
|
|
||
|
# Wakamwambia kwa nguvu
|
||
|
|
||
|
"wakamwambia kwa hasira" au "wakamkemea kwa nguvu"
|