forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
483 B
Markdown
16 lines
483 B
Markdown
# tarumbeta mia tatu
|
|
|
|
"tarumbeta 300"
|
|
|
|
# Bwana akaweka upanga wa kila mtu wa Midiani dhidi ya wenzake
|
|
|
|
"Upanga" ina maanisha kuwa kushambulia kwao ni kwa kutumia upanga. "Bwana akasababisha kila Mmidiani kupigana na askari mwenzake"
|
|
|
|
# Bethshita ... Serera ... Abel ... Mehola ...Tabathi
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji.
|
|
|
|
# Watu wa Israeli kutoka Naftali, Asheri, na Manase wote waliitwa nje
|
|
|
|
Hii yaweza kuwa "Gideoni waliwaita nje Waisraeli toka kwenye kabila la Naftali, Asheri na Manase.
|