sw_tn/jdg/07/22.md

483 B

tarumbeta mia tatu

"tarumbeta 300"

Bwana akaweka upanga wa kila mtu wa Midiani dhidi ya wenzake

"Upanga" ina maanisha kuwa kushambulia kwao ni kwa kutumia upanga. "Bwana akasababisha kila Mmidiani kupigana na askari mwenzake"

Bethshita ... Serera ... Abel ... Mehola ...Tabathi

Haya ni majina ya miji.

Watu wa Israeli kutoka Naftali, Asheri, na Manase wote waliitwa nje

Hii yaweza kuwa "Gideoni waliwaita nje Waisraeli toka kwenye kabila la Naftali, Asheri na Manase.