sw_tn/jdg/07/07.md

392 B

Watu mia tatu

"watu 300"

nitakuokoa na kukupa ushindi

Hapa alikuwa anamwambia Gideoni ila akimaanisha Gideoni na Waisraeli.

Kwa hiyo wale waliochaguliwa

"kwa hiyo wale waliochaguliwa na Bwana"

walichukua vifaa vyao na tarumbeta zao.

"zao" inawakilisha askari wa Israeli walioondoka kwenye jeshi.

Sasa

Hili ni nenp linalotumiwa na msimuliaji kuanza sehemu mpya ya simulizi.