sw_tn/jdg/06/36.md

251 B

ngozi ya samazi

Nguo itokanayo na ngozi ya kondoo.

umande

maji yanayotoka kwenye mimea wakati wa usiku.

basi nitajua kwamba utanitumia

Maana halisi ya sentensi hii yaweza kuwa "Hii itakuwa ishara toka kwako, kisha nitajua kwamba utanituma"