forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
380 B
Markdown
20 lines
380 B
Markdown
# Je, ninyi mtamsihi Baali?
|
|
|
|
Yoashi anatumia swali kusisitiza kuwa mwanadamu hatakiwi kuiokoa miungu.
|
|
|
|
# Mtamsihi
|
|
|
|
"mtamtetea" au "mtatoa sababu"
|
|
|
|
# Je mtamuokoa?
|
|
|
|
Yoashi anatumia swali kusisitiza kuwa mwanadamu hatakiwi kuiokoa miungu.
|
|
|
|
# Yerubaali
|
|
|
|
Hili ni jina lingine la Gidioni likiwa na maana ya "Baali ajitetee mwenyewe"
|
|
|
|
# Kwa sababu alisema.
|
|
|
|
"Kwa sababu Yoashi alisema"
|