forked from WA-Catalog/sw_tn
380 B
380 B
Je, ninyi mtamsihi Baali?
Yoashi anatumia swali kusisitiza kuwa mwanadamu hatakiwi kuiokoa miungu.
Mtamsihi
"mtamtetea" au "mtatoa sababu"
Je mtamuokoa?
Yoashi anatumia swali kusisitiza kuwa mwanadamu hatakiwi kuiokoa miungu.
Yerubaali
Hili ni jina lingine la Gidioni likiwa na maana ya "Baali ajitetee mwenyewe"
Kwa sababu alisema.
"Kwa sababu Yoashi alisema"