sw_tn/jdg/06/31.md

380 B

Je, ninyi mtamsihi Baali?

Yoashi anatumia swali kusisitiza kuwa mwanadamu hatakiwi kuiokoa miungu.

Mtamsihi

"mtamtetea" au "mtatoa sababu"

Je mtamuokoa?

Yoashi anatumia swali kusisitiza kuwa mwanadamu hatakiwi kuiokoa miungu.

Yerubaali

Hili ni jina lingine la Gidioni likiwa na maana ya "Baali ajitetee mwenyewe"

Kwa sababu alisema.

"Kwa sababu Yoashi alisema"