forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
480 B
Markdown
16 lines
480 B
Markdown
# yaliyo mabaya machoni pa Bwana
|
|
|
|
"machoni mwa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani
|
|
|
|
# mikononi mwa Midiani
|
|
|
|
"Midiani" inawakilisha watu wa Midiani. Pia "mkono" unawakilisha kutawala. "utawala wa watu wa Midiani"
|
|
|
|
# Uwezo wa Midiani uliwanyanyasa Israeli
|
|
|
|
"uwezo wa Midiani" inamaanisha watu wa Midiani. "Watu wa Midiani walikuwa na nguvu kuliko watu wa Israeli na waliwanyanyasa"
|
|
|
|
# Mabwawa
|
|
|
|
Eneo lenye miamba linaloweza kuwa makazi.
|