sw_tn/jdg/06/01.md

480 B

yaliyo mabaya machoni pa Bwana

"machoni mwa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani

mikononi mwa Midiani

"Midiani" inawakilisha watu wa Midiani. Pia "mkono" unawakilisha kutawala. "utawala wa watu wa Midiani"

Uwezo wa Midiani uliwanyanyasa Israeli

"uwezo wa Midiani" inamaanisha watu wa Midiani. "Watu wa Midiani walikuwa na nguvu kuliko watu wa Israeli na waliwanyanyasa"

Mabwawa

Eneo lenye miamba linaloweza kuwa makazi.