sw_tn/jdg/05/24.md

347 B

Yaeli

Hili ni jina la mwanamke.

Heberi

Hili ni jina la mwanaume.

Mkeni

Moja ya mtu wa Keeni.

akamletea siagi

"siagi" ni maziwa mazito. Haya yalikuwa maziwa mazuri na kinywaji pendwa kwa watu wa Yaeli.

sahani inayofaa kwa wakuu

Hii inamaanisha kuwa sahani ile ilikuwa ya thamani sana kwa sababu wakuu walitumia vitu vya thamani.