forked from WA-Catalog/sw_tn
347 B
347 B
Yaeli
Hili ni jina la mwanamke.
Heberi
Hili ni jina la mwanaume.
Mkeni
Moja ya mtu wa Keeni.
akamletea siagi
"siagi" ni maziwa mazito. Haya yalikuwa maziwa mazuri na kinywaji pendwa kwa watu wa Yaeli.
sahani inayofaa kwa wakuu
Hii inamaanisha kuwa sahani ile ilikuwa ya thamani sana kwa sababu wakuu walitumia vitu vya thamani.