forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
432 B
Markdown
16 lines
432 B
Markdown
# kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki
|
|
|
|
Wana wa Efraimu waliokuwa wakiishi walikuwa uzao wa Amaleki.
|
|
|
|
# walikufuata wewe
|
|
|
|
"wewe" inamaanisha watu wa Efraimu.
|
|
|
|
# Mariki
|
|
|
|
Hili ni eneo ambalo uzao wa Mariki waliishi. Mariki alikuwa mwana wa Manase na mjukuu wa Yusufu.
|
|
|
|
# kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
|
|
|
|
Viongozi wa kivita walitambulika kwa fimbo kama ishara ya mamlaka. "Kiongozi wa kivita wa Zebuloni"
|