sw_tn/jdg/05/14.md

432 B

kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki

Wana wa Efraimu waliokuwa wakiishi walikuwa uzao wa Amaleki.

walikufuata wewe

"wewe" inamaanisha watu wa Efraimu.

Mariki

Hili ni eneo ambalo uzao wa Mariki waliishi. Mariki alikuwa mwana wa Manase na mjukuu wa Yusufu.

kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.

Viongozi wa kivita walitambulika kwa fimbo kama ishara ya mamlaka. "Kiongozi wa kivita wa Zebuloni"