forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
594 B
Markdown
20 lines
594 B
Markdown
# mama alichukua amri katika Israeli
|
|
|
|
Hii inazungumzia juu ya uongozi wa Debora kama mama wa Israeli. "Aliwajali Waisraeli kama ambavyo mama anawajali watoto wake"
|
|
|
|
# Walichagua miungu wapya
|
|
|
|
"Wana wa Israeli waliabudu miungo mipya"
|
|
|
|
# kulikuwa na vita katika malango ya jiji
|
|
|
|
Neno "malango" linawakilisha mji mzima. "maadui waliwashambulia watu ndani ya miji ya Israeli"
|
|
|
|
# hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
|
|
|
|
Hii sentensi inaelezea ni kwa kiasi gani Waisraeli walikuwa na silaha chache.
|
|
|
|
# elfu arobaini nchini Israeli
|
|
|
|
"40,000 nchini Israeli"
|