sw_tn/jdg/05/07.md

594 B

mama alichukua amri katika Israeli

Hii inazungumzia juu ya uongozi wa Debora kama mama wa Israeli. "Aliwajali Waisraeli kama ambavyo mama anawajali watoto wake"

Walichagua miungu wapya

"Wana wa Israeli waliabudu miungo mipya"

kulikuwa na vita katika malango ya jiji

Neno "malango" linawakilisha mji mzima. "maadui waliwashambulia watu ndani ya miji ya Israeli"

hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.

Hii sentensi inaelezea ni kwa kiasi gani Waisraeli walikuwa na silaha chache.

elfu arobaini nchini Israeli

"40,000 nchini Israeli"