|
# Mungu alimshinda Jabin, mfalme wa Kanaani, mbele ya watu wa Israeli
|
|
|
|
Mungu aliwafanya Waisraeli wamshinde Yabini pamoja na jeshi lake.
|
|
|
|
# Uwezo
|
|
|
|
"Nguvu za jeshi"
|
|
|
|
# wakamwangamiza yeye
|
|
|
|
"yeye" inamaanisha Yabini na jeshi lake. "Wakamwangamiza Yabini na jeshi lake"
|