Mungu alimshinda Jabin, mfalme wa Kanaani, mbele ya watu wa Israeli
Mungu aliwafanya Waisraeli wamshinde Yabini pamoja na jeshi lake.
Uwezo
"Nguvu za jeshi"
wakamwangamiza yeye
"yeye" inamaanisha Yabini na jeshi lake. "Wakamwangamiza Yabini na jeshi lake"