forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
419 B
Markdown
20 lines
419 B
Markdown
# Mwamuzi
|
|
|
|
Mungu alichagua mwamuzi kuwaongoza wana wa Israeli katika nyakati za shida baada ya kuingia katika nchi ya ahadi na kabla ya kuwa na wafalme. mara nyingi waamuzi waliwaokoa Waisraeli toka kwa maadui.
|
|
|
|
# Shamgari
|
|
|
|
Ni jina la mwanaume.
|
|
|
|
# Athani
|
|
|
|
Ni jina la mwanaume.
|
|
|
|
# konzo
|
|
|
|
"kusogeza" au "kuongoza"
|
|
|
|
# Pia aliwaokoa Israeli kutoka kwenye hatari.
|
|
|
|
"Hatari" inamaanisha maadui waliotaka kuwadhuru Waisraeli.
|