sw_tn/jdg/03/31.md

419 B

Mwamuzi

Mungu alichagua mwamuzi kuwaongoza wana wa Israeli katika nyakati za shida baada ya kuingia katika nchi ya ahadi na kabla ya kuwa na wafalme. mara nyingi waamuzi waliwaokoa Waisraeli toka kwa maadui.

Shamgari

Ni jina la mwanaume.

Athani

Ni jina la mwanaume.

konzo

"kusogeza" au "kuongoza"

Pia aliwaokoa Israeli kutoka kwenye hatari.

"Hatari" inamaanisha maadui waliotaka kuwadhuru Waisraeli.