forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
924 B
Markdown
36 lines
924 B
Markdown
# Bwana akamuinua mtu
|
|
|
|
Bwana akamchagua mtu kufanya kazi maalumu kwa ajili yake.
|
|
|
|
# Othnieli ... Kenazi
|
|
|
|
Majina haya ni ya wanaume.
|
|
|
|
# akamtia nguvu
|
|
|
|
Maneno haya yanamaanisha kwamba Bwana akamsaidia Othnieli kukuza sifa alizozitaka ili awe kiongozi bora.
|
|
|
|
# akahukumu Israeli
|
|
|
|
"kuhukumu" inamaanisha kuwaongoza wana wa Israeli.
|
|
|
|
# naye akatoka kwenda vitani
|
|
|
|
"naye" inamuelezea Othnieli ambaye anawakilisha jeshi la Israeli. "Othnieli na jeshi la Israeli wakatoka kwenda kupigana na jeshi la Kushan-rishathaimu"
|
|
|
|
# Bwana akampa kuishinda Kush-rishataimu mfalme wa Aramu
|
|
|
|
"Kush-rishataimu" anawakilisha jeshi lake. "Bwana akalisaidia jeshi la Israeli kulishinda jeshi la Kush-rishataimu mfalme wa Aramu"
|
|
|
|
# Mkono wa Othnieli
|
|
|
|
Hapa neno "mkono" limesimama badala ya jeshi. "Jeshi la Othnieli"
|
|
|
|
# Nchi ilikuwa na amani
|
|
|
|
"nchi" imetumika kuelezea watu waishio ndani yake. "Watu waliishi kwa amani"
|
|
|
|
# Miaka arobaini
|
|
|
|
"miaka 40"
|