sw_tn/jdg/03/04.md

312 B

Mataifa haya yaliachwa

Inaweza kuanza kama "Bwana aliyaacha mataifa haya Kanaani" au "Bwana aliruhusu mataifa haya kuendelea kuishi Kanaani"

kama njia

"kama namna"

kama watazitii ... alizowapa babu zao

Maneno "wao" na "zao" yanawaelezea wana wa Israeli.

amri alizowapa

"amri ambazo Bwana aliwapa"