forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
312 B
Markdown
16 lines
312 B
Markdown
|
# Mataifa haya yaliachwa
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuanza kama "Bwana aliyaacha mataifa haya Kanaani" au "Bwana aliruhusu mataifa haya kuendelea kuishi Kanaani"
|
||
|
|
||
|
# kama njia
|
||
|
|
||
|
"kama namna"
|
||
|
|
||
|
# kama watazitii ... alizowapa babu zao
|
||
|
|
||
|
Maneno "wao" na "zao" yanawaelezea wana wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# amri alizowapa
|
||
|
|
||
|
"amri ambazo Bwana aliwapa"
|