# Mataifa haya yaliachwa Inaweza kuanza kama "Bwana aliyaacha mataifa haya Kanaani" au "Bwana aliruhusu mataifa haya kuendelea kuishi Kanaani" # kama njia "kama namna" # kama watazitii ... alizowapa babu zao Maneno "wao" na "zao" yanawaelezea wana wa Israeli. # amri alizowapa "amri ambazo Bwana aliwapa"