sw_tn/jdg/02/18.md

849 B

Bwana aliinua waamuzi.

Bwana alichagua watu kuwa waamuzi kwa njia ya kuwainua juu.

waamuzi kwa ajili yao ... kuwaokoa

"yao" ina maanisha Waisraeli.

mikono ya adui zao

"mkono" ina maanisha nguvu za adui za kuwaumiza Waisraeli.

siku zote muamuzi aliishi

"kwa muda muamuzi alioishi"

Huruma

Kuwa na huruma juu ya kitu fulani au mtu

walipougua

Huu ni mlio unatolewa na mtu anayeteseka, inatumika kuelezea maumivu ya Waisraeli.

Waligeuka

Watu hawakuendelea kumtii Bwana waligeuka.

Baba zao

"mababu zao"

Wakaenda kuifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu

Waisraeli kuiabudu miungu mingine inafananishwa kama vile walitembea kuifuata miungu mingine. "Waliitumikia na kuabudu miungu mingine"

Walikataa kuacha matendo yao yote mabaya au njia zao za ukaidi.

"Walikataa kuacha kufanya mambo maovu na wakawa wakaidi."