forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
849 B
Markdown
40 lines
849 B
Markdown
|
# Bwana aliinua waamuzi.
|
||
|
|
||
|
Bwana alichagua watu kuwa waamuzi kwa njia ya kuwainua juu.
|
||
|
|
||
|
# waamuzi kwa ajili yao ... kuwaokoa
|
||
|
|
||
|
"yao" ina maanisha Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# mikono ya adui zao
|
||
|
|
||
|
"mkono" ina maanisha nguvu za adui za kuwaumiza Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# siku zote muamuzi aliishi
|
||
|
|
||
|
"kwa muda muamuzi alioishi"
|
||
|
|
||
|
# Huruma
|
||
|
|
||
|
Kuwa na huruma juu ya kitu fulani au mtu
|
||
|
|
||
|
# walipougua
|
||
|
|
||
|
Huu ni mlio unatolewa na mtu anayeteseka, inatumika kuelezea maumivu ya Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# Waligeuka
|
||
|
|
||
|
Watu hawakuendelea kumtii Bwana waligeuka.
|
||
|
|
||
|
# Baba zao
|
||
|
|
||
|
"mababu zao"
|
||
|
|
||
|
# Wakaenda kuifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu
|
||
|
|
||
|
Waisraeli kuiabudu miungu mingine inafananishwa kama vile walitembea kuifuata miungu mingine. "Waliitumikia na kuabudu miungu mingine"
|
||
|
|
||
|
# Walikataa kuacha matendo yao yote mabaya au njia zao za ukaidi.
|
||
|
|
||
|
"Walikataa kuacha kufanya mambo maovu na wakawa wakaidi."
|