sw_tn/jdg/02/11.md

645 B

Yaliyo mabaya machoni mwa Bwana

"machoni mwa Bwana" inawakilisha kile ambacho Bwana alikifikiria.

Mabaali

Huu ni wingi wa Baali. Baali ni jina la mungu wa uongo.

Wakaondoka kwa Bwana

Waisraeli hawakutii tena anayosema Bwana hivyo wakawa wameondoka mbele ya Bwana.

Baba

"Mababu"

Wakaifuata miungu mingine

Waisraeli kuanza kuabudu miungu ya uongo wanafananishwa kama Waisraeli walioondoka na kuifuata miungu ya uongo.

Wakaisujudia

Hili ni tendo la kuabudu au kutoa heshima kwa mtu.

Wakamkasirisha Bwana

Wakasababisha Bwana akasirike"

Maashtoreti.

Huu ni wingi wa Ashtoreti, aliyeabudiwa kama mungu kwa namna nyingi.