forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
645 B
Markdown
32 lines
645 B
Markdown
|
# Yaliyo mabaya machoni mwa Bwana
|
||
|
|
||
|
"machoni mwa Bwana" inawakilisha kile ambacho Bwana alikifikiria.
|
||
|
|
||
|
# Mabaali
|
||
|
|
||
|
Huu ni wingi wa Baali. Baali ni jina la mungu wa uongo.
|
||
|
|
||
|
# Wakaondoka kwa Bwana
|
||
|
|
||
|
Waisraeli hawakutii tena anayosema Bwana hivyo wakawa wameondoka mbele ya Bwana.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
"Mababu"
|
||
|
|
||
|
# Wakaifuata miungu mingine
|
||
|
|
||
|
Waisraeli kuanza kuabudu miungu ya uongo wanafananishwa kama Waisraeli walioondoka na kuifuata miungu ya uongo.
|
||
|
|
||
|
# Wakaisujudia
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo la kuabudu au kutoa heshima kwa mtu.
|
||
|
|
||
|
# Wakamkasirisha Bwana
|
||
|
|
||
|
Wakasababisha Bwana akasirike"
|
||
|
|
||
|
# Maashtoreti.
|
||
|
|
||
|
Huu ni wingi wa Ashtoreti, aliyeabudiwa kama mungu kwa namna nyingi.
|