forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
377 B
Markdown
16 lines
377 B
Markdown
# Hebroni alipewa Kalebu (kama Musa alivyosema)
|
|
|
|
"Musa alimkabidhi Hebroni kwa Kalebu"
|
|
|
|
# wana watatu wa Anaki
|
|
|
|
Viongozi wa watu wa kundi wamezoea kumaanisha kundi zima. "wana watatu wa Anaki na watu wao"
|
|
|
|
# Anaki
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu. Uzao wake wana sifa ya kuwa warefu sana wa kimo.
|
|
|
|
# Hata leo
|
|
|
|
"mpaka sasa" Hii inamaanisha wakati kitabu cha Waamuzi kilipokuwa kinaandikwa.
|