sw_tn/jdg/01/20.md

377 B

Hebroni alipewa Kalebu (kama Musa alivyosema)

"Musa alimkabidhi Hebroni kwa Kalebu"

wana watatu wa Anaki

Viongozi wa watu wa kundi wamezoea kumaanisha kundi zima. "wana watatu wa Anaki na watu wao"

Anaki

Hili ni jina la mtu. Uzao wake wana sifa ya kuwa warefu sana wa kimo.

Hata leo

"mpaka sasa" Hii inamaanisha wakati kitabu cha Waamuzi kilipokuwa kinaandikwa.