forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
384 B
Markdown
16 lines
384 B
Markdown
# Akamsihi
|
|
|
|
"Aksa akamsihi Othnieli"
|
|
|
|
# akampa nchi ... kwa kuwa umenipa nchi
|
|
|
|
Hii inaelezea kuwa Kalebu alimpa nchi aliyoiomba katika sura ya 14. Katika sura ya 15 anaomba sasa na chemichemi ya maji.
|
|
|
|
# Nibariki
|
|
|
|
"Nepe neema" au "Nifanyie hivi"
|
|
|
|
# Kwa kuwa umenipa nchi ya Negebu
|
|
|
|
Kalebu alimpa Aksa aolewe na Othnieli, hivyo aliishi pamoja na Othnieli katika mji waliouteka Negebu.
|