sw_tn/jdg/01/14.md

384 B

Akamsihi

"Aksa akamsihi Othnieli"

akampa nchi ... kwa kuwa umenipa nchi

Hii inaelezea kuwa Kalebu alimpa nchi aliyoiomba katika sura ya 14. Katika sura ya 15 anaomba sasa na chemichemi ya maji.

Nibariki

"Nepe neema" au "Nifanyie hivi"

Kwa kuwa umenipa nchi ya Negebu

Kalebu alimpa Aksa aolewe na Othnieli, hivyo aliishi pamoja na Othnieli katika mji waliouteka Negebu.