sw_tn/jdg/01/08.md

922 B

jiji la Yerusalemu na kulichukua

Hapa "jiji" lina maanisha watu. "watu wanaoishi Yerusalemu na kuwashinda"

Walishambulia

Walishambulia jiji linaliwakilisha watu wa mji. "Walishambulia watu wa jiji"

kwa makali ya upanga

Hapa "Upanga" inamaanisha upanga au silaha nyingine inayotumiwa na askari vitani. "na upanga wao" au "na silaha zao"

watu wa Yuda walikwenda chini kupigana

Ilikuwa kawaida kutumia neno chini ikiwa ina maanisha kusafiri toka Yerusalemu. "Watu wa Yuda walikwenda kupigana"

Negebu

Kusini mwa jangwa la Yuda

Milima

vilima vilivyo chini ya mlima.

jina la Hebroni hapo awali ilikuwa Kiriath-arba

Hii ni taarifa. baadhi ya watu ambao walisoma kitabu hiki mwanzoni yamkini walisikia juu ya Kiriath-arba lakini hawakufahamu kuwa ilikuwa ni mji wa Hebroni.

Sheshai, Ahimani na Talmai

Haya ni majina ya viongozi watatu wa Kikanaani wa Hebroni. Kila kiongozi anawakilisha jeshi lake.