forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
410 B
Markdown
16 lines
410 B
Markdown
# Wakamfuata
|
|
|
|
"wakamkimbiza"
|
|
|
|
# Wafalme sabini
|
|
|
|
"Wafalme 70"
|
|
|
|
# walikusanya chakula chao chini ya meza yangu
|
|
|
|
"walikula vipande vya chakula chili ya meza yangu." Aliwalazimisha hawa wafalme kula vipande vya chakula inaonesha namna gani Adoni Bezeki alivyowanyanyasa hawa wafalme.
|
|
|
|
# ambao na vidole gumba vyako na vidole vikubwa vilikatwa
|
|
|
|
"niliwaambia watu wangu wavikate vidole gumba vyao na vidole vikubwa"
|