sw_tn/jdg/01/06.md

410 B

Wakamfuata

"wakamkimbiza"

Wafalme sabini

"Wafalme 70"

walikusanya chakula chao chini ya meza yangu

"walikula vipande vya chakula chili ya meza yangu." Aliwalazimisha hawa wafalme kula vipande vya chakula inaonesha namna gani Adoni Bezeki alivyowanyanyasa hawa wafalme.

ambao na vidole gumba vyako na vidole vikubwa vilikatwa

"niliwaambia watu wangu wavikate vidole gumba vyao na vidole vikubwa"