forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
451 B
Markdown
24 lines
451 B
Markdown
# Watu wa Yuda wakavamia
|
|
|
|
Inamaanisha kwamba watu wa Simoni walivamiwa na watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Wakawaua watu elfu kumi
|
|
|
|
"waliwaua watu takribani 10,000" au "waliua idadi kubwa ya watu"
|
|
|
|
# Hao
|
|
|
|
"askari Wakanaani na Waperizi" au "maadui"
|
|
|
|
# Bezeki
|
|
|
|
Hili ni eneo la milima ya Kanaani
|
|
|
|
# Adoni Bezeki
|
|
|
|
Alikuwa kiongozi wa jeshi la Wakanaani na Waperizi
|
|
|
|
# Wakapigana naye
|
|
|
|
"naye" inamuelezea Adoni Bezeki na jeshi lake. "walipigana naye pamoja na jeshi lake"
|