sw_tn/jdg/01/04.md

451 B

Watu wa Yuda wakavamia

Inamaanisha kwamba watu wa Simoni walivamiwa na watu wa Yuda.

Wakawaua watu elfu kumi

"waliwaua watu takribani 10,000" au "waliua idadi kubwa ya watu"

Hao

"askari Wakanaani na Waperizi" au "maadui"

Bezeki

Hili ni eneo la milima ya Kanaani

Adoni Bezeki

Alikuwa kiongozi wa jeshi la Wakanaani na Waperizi

Wakapigana naye

"naye" inamuelezea Adoni Bezeki na jeshi lake. "walipigana naye pamoja na jeshi lake"