sw_tn/jas/05/16.md

772 B

Maelezo ya Jumla

Kwa kuwa haw walikuwa waamini wa kiyahudi, Yakobo anawakumbusha watu kuomba kwa kukumbuka moja wa manabii na namna walivyoomba.

Kwa hiyo ungameni dhambi zenu

Hii ni kukubali makosa yako kwa waamini wengine ili uweze kusamehewa.

ninyi kwa ninyi,

"kila mmoja na mwenzake"

ili muweze kuponywa

"Ili Mungu awaponye"

Maombi ya mwenye haki huzaa matokeo makubwa

Maombi ni kitu chenye nguvu sana. "Mtu anayemcha Mungu akiomba, Mungu anafanya mambo makuu"

Juhudi

"shauku"

Tatu ... sita

"3 ... 6"

mbingu zilimwaga mvua

Mbingu inamaanisha mawingu ambayo inaelezwa kama chanzo cha mvua. "Mvua ilishuka toka mawinguni"

nchi ikatoa mavuno.

Hapa nchi inaelezwa kama chanzo cha mavuno

Matunda

"Matunda" inamaanisha mazao ya mkulima