forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
772 B
Markdown
40 lines
772 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa haw walikuwa waamini wa kiyahudi, Yakobo anawakumbusha watu kuomba kwa kukumbuka moja wa manabii na namna walivyoomba.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo ungameni dhambi zenu
|
||
|
|
||
|
Hii ni kukubali makosa yako kwa waamini wengine ili uweze kusamehewa.
|
||
|
|
||
|
# ninyi kwa ninyi,
|
||
|
|
||
|
"kila mmoja na mwenzake"
|
||
|
|
||
|
# ili muweze kuponywa
|
||
|
|
||
|
"Ili Mungu awaponye"
|
||
|
|
||
|
# Maombi ya mwenye haki huzaa matokeo makubwa
|
||
|
|
||
|
Maombi ni kitu chenye nguvu sana. "Mtu anayemcha Mungu akiomba, Mungu anafanya mambo makuu"
|
||
|
|
||
|
# Juhudi
|
||
|
|
||
|
"shauku"
|
||
|
|
||
|
# Tatu ... sita
|
||
|
|
||
|
"3 ... 6"
|
||
|
|
||
|
# mbingu zilimwaga mvua
|
||
|
|
||
|
Mbingu inamaanisha mawingu ambayo inaelezwa kama chanzo cha mvua. "Mvua ilishuka toka mawinguni"
|
||
|
|
||
|
# nchi ikatoa mavuno.
|
||
|
|
||
|
Hapa nchi inaelezwa kama chanzo cha mavuno
|
||
|
|
||
|
# Matunda
|
||
|
|
||
|
"Matunda" inamaanisha mazao ya mkulima
|