forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
670 B
Markdown
32 lines
670 B
Markdown
# Nsinung'unikiane, ndugu ... ninyi
|
|
|
|
Yakobo anawaandikia waamini wa Kiyahudi waliotawanyika.
|
|
|
|
# ninyi kwa ninyi,
|
|
|
|
"kila mmoja na mwenzake"
|
|
|
|
# Hamtahukumiwa
|
|
|
|
Hii yaweza kuwa "Kristo hatawahukumu ninyi"
|
|
|
|
# hakimu anasimama mlangoni
|
|
|
|
Yakobo anamfananisha Yesu, kama hakimu kwa mwanadamu na kuelezea ni kuwa bado mda mfupi sana Yesu atarudi kuhukumu ulimwengu"
|
|
|
|
# mateso na uvumilivu wa manabii
|
|
|
|
"ni kwa namna gani manabii walivumilia mateso na hukumu"
|
|
|
|
# walionena katika jina la Bwana
|
|
|
|
"Waliongea kwa jina la Bwana kwa watu"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Tazama" inasisitiza "sikiliza kwa makini" au "kumbuka"
|
|
|
|
# wale wanaovumilia
|
|
|
|
"Wale watakaoendelea kumtii Mungu hata katika hali ngumu"
|