sw_tn/jas/05/09.md

670 B

Nsinung'unikiane, ndugu ... ninyi

Yakobo anawaandikia waamini wa Kiyahudi waliotawanyika.

ninyi kwa ninyi,

"kila mmoja na mwenzake"

Hamtahukumiwa

Hii yaweza kuwa "Kristo hatawahukumu ninyi"

hakimu anasimama mlangoni

Yakobo anamfananisha Yesu, kama hakimu kwa mwanadamu na kuelezea ni kuwa bado mda mfupi sana Yesu atarudi kuhukumu ulimwengu"

mateso na uvumilivu wa manabii

"ni kwa namna gani manabii walivumilia mateso na hukumu"

walionena katika jina la Bwana

"Waliongea kwa jina la Bwana kwa watu"

Tazama

"Tazama" inasisitiza "sikiliza kwa makini" au "kumbuka"

wale wanaovumilia

"Wale watakaoendelea kumtii Mungu hata katika hali ngumu"