sw_tn/jas/04/15.md

409 B

Badala yake mngesema

Badala yake, mtazamo wenu uwe?"

sisi tutaishi

Neno "sisi" halimaanishi Yakobo au hadhira yake lakini ni mfano wa namna ambavyo hadhira ya Yakobo inatakiwa iishi.

tutafanya hiki au kile.

"kufanya kile ambacho tumepanga kufanya"

kwake yeye ajuaye kutenda mema lakini hayatendi, kwake huyo ni dhambi.

Yeyote anayeshindwa kufanya jambo ambalo anapaswa kufanya anatenda dhambi.