sw_tn/jas/04/13.md

564 B

kukaa huko mwaka

Yakobo anazungumzia kutumia mda kama pesa. "kaeni huko mwaka mzima"

Ni nani ajuaye nini kitatokea kesho

Yakobo anatumia swali hili kuisahihisha hadhira yake. "Hakuna ajuaye kitakachotokea kesho"

maisha yenu ni nini hasa?

Yakobo alitumia swali hili kufundisha waamini kuwa maisha ya kimwili sio ya muhimu sana. "fikirini juu ya maisha yenu ya kimwili"

Kwa kuwa mnafanana kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi na kisha hupotea.

Yakobo anawafananisha watu na ukungu ambao hutokea na kupotea kwa haraka. "mnaishi kwa muda mfupi na kufa"