forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
564 B
Markdown
16 lines
564 B
Markdown
|
# kukaa huko mwaka
|
||
|
|
||
|
Yakobo anazungumzia kutumia mda kama pesa. "kaeni huko mwaka mzima"
|
||
|
|
||
|
# Ni nani ajuaye nini kitatokea kesho
|
||
|
|
||
|
Yakobo anatumia swali hili kuisahihisha hadhira yake. "Hakuna ajuaye kitakachotokea kesho"
|
||
|
|
||
|
# maisha yenu ni nini hasa?
|
||
|
|
||
|
Yakobo alitumia swali hili kufundisha waamini kuwa maisha ya kimwili sio ya muhimu sana. "fikirini juu ya maisha yenu ya kimwili"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa mnafanana kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi na kisha hupotea.
|
||
|
|
||
|
Yakobo anawafananisha watu na ukungu ambao hutokea na kupotea kwa haraka. "mnaishi kwa muda mfupi na kufa"
|