forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
964 B
Markdown
24 lines
964 B
Markdown
# Kila aina ya .... na mwanadamu.
|
|
|
|
Usemi huu "kila aina" humaanisha "aina nyingi." hii inaweza kutafsriwa kama fungu la maneno yanayoonesha kutenda; "Watu wamejifunza kudhibiti aina nyingi za wanyama wa mwitu, ndege, vitambaavyo, na viumbe wa baharini."
|
|
|
|
# Kitambaacho.
|
|
|
|
Huyu ni mnyama ambaye hutembea juu ya ardhi kwa kujikokota.
|
|
|
|
# Kiumbe wa baharini
|
|
|
|
Huyu ni mnyama ambaye anaishi majini.
|
|
|
|
# Lakini kuhusu ulimi hakuna hata mmoja miongoni mwa watu awezaye kuchunga ulimi.
|
|
|
|
Hapa "ulimi" humaanisha kile ambacho mtu hutamka. Maana kamili inaweza kutajwa kwa uwazi kama hivi: "hakuna mtu hata mmoja awezaye kudhibiti ulimi wake pasipo msaada wa Mungu."
|
|
|
|
# Muovu asiyedhibitiwa
|
|
|
|
Ulimi umezungumziwa kama vile ni uovu usioweza kudhibitiwa. Yakobo anafananisha na tamaa za mtu kuongea mambo maovu.
|
|
|
|
# Umejaa sumu ya kufisha
|
|
|
|
Yakobo anafananisha uwezo wa mtu kuongea mabaya kama vile nyoka au mmea wenye sumu. Sumu ni maneno yaumizayo ambayo yanaweza kusemwa kwa mtu.
|