forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
387 B
Markdown
12 lines
387 B
Markdown
# Kama pale juisi inavyopatikana kwenye vishada vya mizabibu
|
|
|
|
Yahwe analinganisha watu wa Israeli kwa kishada cha mizabibu ambacho bado kina juisi nzuri ndani yake.
|
|
|
|
# pale juisi inavyopatikana kwenye vishada
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "utakapokuta juisi katka kishada"
|
|
|
|
# sitawaharibu wote
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "Nitawaacha wale ambao ni wa haki"
|