sw_tn/isa/65/08.md

387 B

Kama pale juisi inavyopatikana kwenye vishada vya mizabibu

Yahwe analinganisha watu wa Israeli kwa kishada cha mizabibu ambacho bado kina juisi nzuri ndani yake.

pale juisi inavyopatikana kwenye vishada

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "utakapokuta juisi katka kishada"

sitawaharibu wote

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "Nitawaacha wale ambao ni wa haki"