forked from WA-Catalog/sw_tn
387 B
387 B
Kama pale juisi inavyopatikana kwenye vishada vya mizabibu
Yahwe analinganisha watu wa Israeli kwa kishada cha mizabibu ambacho bado kina juisi nzuri ndani yake.
pale juisi inavyopatikana kwenye vishada
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "utakapokuta juisi katka kishada"
sitawaharibu wote
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "Nitawaacha wale ambao ni wa haki"